Sunday, May 26, 2013

Mama Salma Kikwete ashiriki katika shughuli za Umoja wa wake wa Marais wa Afrika (OAFLA) jijini Addis Ababa

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akishiriki katika kikao cha cha 'steering committee' cha Umoja wa wake wa Marais wa Afrika (OAFLA) kilichofanyika Addis Ababa
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa  na baadhi ya wake wa Marais na Wakuu wa nchi za Afrika wakipata maelezo katika moja ya taasisi za Ethiopia





No comments:

Post a Comment