MkurugenziMkuu wa Shirika la
Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Dkt. Ramadhan Dau
akisisitiza jambo
mbele ya Wadau zaidi ya 1000 kutoka
sehemu mbalimbali
ndani na nje ya Tanzania,
kwenye mkutano wa tatu wa Wadau wa Shirika
la Taifa la Hifadhi
ya Jamii (NSSF) unaondelea hivi sasa ukiwa ni siku ya
pili,kwenye ukumbi wa
mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha,ambapo kauli
mbiu yake kwa mwaka
huu ni Sekta ya hifadhi ya Jamii Tanzania,Njia
panda-Nini kifanyike.
Mbunge wa jimbo la
Perahamio-Songea,Mh Jenista
Mhagama akiomba
kupewa ufafanuzi kuhusiana na Sera na
Sheria za fedha
ziko salama kiasi
gani katika mifuko ya hifadhi ya jamii,kwenye mkutano wa tatu
wa Wadau wa Shirika
la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) unaondelea hivi sasa
ukiwa ni siku ya
pili,kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini
Arusha,ambapo kauli
mbiu yake kwa mwaka huu ni Sekta ya hifadhi ya Jamii
Tanzania,Njia
panda-Nini kifanyike.
Mkurugenzi Mkuu wa
Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA),Irene
Isaka,akifafanua kuhusiana na mambo mbalimbali yahusuyo mifuko ya hifadhi ya
jamii,ikiwemo sambamba na namna gani inavyoweza kukuza uchumi na kuleta
maendeleo makubwa ndani ya jamii.
Mchambuzi Mkuu wa
masuala ya Kifedha kutoka Benki kuu ya Tanzania
(BOT),Bi.Liku Katekamba akitoa ufafanuzi kuhusiana na usalama wa fedha ndani ya
mifuko ya hifadhi ya jamii,na pia amewataka Wanachama kuwa na imani ya mifuko yao ya hifadhi ya jamii.
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika
la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crenscentius Magori
akiteta jambo na Mkuu
wa Kitengo cha mahusiano NSSF,Eunice Chiume wakati wa mkutano
wa tatu wa Wadau wa Shirika la
Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF)
unaondelea hivi sasa ukiwa
ni siku ya pili,kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa
wa AICC,jijini Arusha,ambapo
kauli mbiu yake kwa mwaka huu ni Sekta ya
hifadhi ya Jamii Tanzania,Njia
panda-Nini kifanyike.
Pichani ni sehemu ya
Wadau mbalimbali zaidi ya 1000 waliohudhuria Mkutano
wa tatu wa
Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF)
unaondelea hivi sasa ukiwa ni siku ya pili,
kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa
wa AICC,jijini Arusha,ambapo kauli mbiu yake kwa mwaka
huu ni Sekta ya
hifadhi ya Jamii Tanzania,Njia
panda-Nini kifanyike.
No comments:
Post a Comment