Waziri wa Kazi na
Ajira, Gaundencia Kabaka (kulia) akisalimiana na Kaimu Mkuu wa Idara ya Wateja
Wakubwa na Uwekezaji wa Benki ya NBC, Minnie Adolf Kibuta katika hafla ya
chakula cha jioni kilichoandaliwa na benki hiyo kwa washiriki wa mkutano wa
tatu wa Wadau wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwenye ukumbi wa
mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha . Katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya
NSSF, Aboubakar Rajab.
Waziri wa Kazi na
Ajira, Gaundencia Kabaka (katikati) akizungumza katika hafla ya chakula cha
jioni kilichoandaliwa na benki ya NBC kwa washiriki wa mkutano wa tatu wa Wadau
wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwenye ukumbi wa mikutano wa
Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.
Msanii wa muzii wa
izazi kipya Naseeb Abdul ‘Diamond’ akikonga nyoyo za wadau wa NSSF katika
mkutano huo jijini Arusha. 
Mkurugenzi wa
Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii(NSSF), Crescentius Magori
(kulia) akizungumza na Kaimu Mkuu wa Idara
ya Wateja Wakubwa na Uwekezaji wa Benki ya NBC, Minnie Adolf Kibuta katika
hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na benki hiyo kwa washiriki wa
mkutano wa tatu wa Wadau wa NSSF kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa
AICC,jijini Arusha.
Kaimu Mkuu wa Idara
ya Wateja Wakubwa na Uwekezaji wa Benki ya NBC, Minnie Adolf Kibuta (katikati)
akipozi kwa pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa NBC katika hafla hiyo jijini
Arusha.
No comments:
Post a Comment