Waziri wa Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo Mh.
Dkt. Fenella Mukangara (mwenye miwani ) leo amepokea taarifa ya kikundi
cha Petu Saccos na kuongea na vijana
wa kikundi cha Youth Welding Group cha Sanawari - Arusha
(pichani) alipotembelea na kuangalia jinsi fedha za mfuko wa vijana zilizotolewa wizara yake zilivyowanufaishavijana katika kujikomboa kimaisha na kujiajiri wenyewe.
Waziri wa Habari , Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Dkt.Fenella Mukangara (alivaa miwani ) akiongea na wana Saccos
wa Petu kupitia kikundi cha Youth Welding group cha Sanawari mkoani Arusha leo
Waziri wa Habari,
Vijana, Utamaduni na . Michezo Dkt.
Fenella Mukangara (kushoto)leo akizungumza na Mjasiriamali
Martha Yusuph alipotembelea Soko kuu Saccos Arusha na kuangalia wanufaika wa mikopo ya mfuko wa vijana uliotolewa na Wizara yake
Waziri wa Habari,
Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara (kulia) akipata maelezo kutoka kwa mjasiriamali wa Krokon Saccos Asha Muhamed jinsi alivyonufaika
mkopo wa mfuko wa Vijana kutoka Wizara yake .
Waziri wa Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo, Mh. Dkt.
Fenella Mukangara (alievaa miwani) akiongea na wafanyakazi wa TBC na Mafundi wa Star Times leo alipotembelea
Njiro mkoani Arusha kuangalia
shughuli mbalimbali. Picha zote na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO
No comments:
Post a Comment