Msanii wa kizazi kipya ajulikanaye kwa jina la
Nasib Abdul (diamond Platinum) akiwapa burudani wa kazi wa jiji la Arusha
katika shoo yake iliodhaminiwa na kituo cha radio 5 ndani ya klabu ya safari iliopo ndani ya ukumbi wa
jengo la sundown cornival lililopo nje kidogo ya jiji la Arusha
No comments:
Post a Comment