Pichani ni mbunge wa viti maalum vijana(CCM) Catherine Magige akiwa na baadhi ya vijana wakibadilishana mawazo kabla ya uzinduzi ulioenda sambamba na sherehe ya uzinduzi wa Catherine Foundation kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Arusha, pamoja na kutoa msaada wa baskeli kwa walemavu wa wilaya ya Arusha.
Mgeni rasmi ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Arusha John Mongela akisalimiana na wageni mbali mbali wakati alipowasili kwenye uzinduzi wa Catherine Foundation Jijini Arusha
Mbunge wa viti maalum Catherine Maggige akisomama taarifa ya Foundation yake ilivyoanza kazi mbele ya mgeni rasmi mkuu wa wilaya na wananchi waliohudhuria uzinduzi wa Catherine Foundation kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya ya Arusha leo Asubuhi
No comments:
Post a Comment